Mkurugenzi wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Vailet Samson Mwazembe akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa kongamano la kuwainua wajasiriamali lenye kauli mbiu isemayo " Mjasiriamali Imara chanzo cha familia bora" lililoandaliwa na taasisi hiyo ikishirikiana na Benki ya CRDB pamoja na kuzindua mpango endelevu wa "MTOTO JITAMBUE". Kutoka kushoto ni Katibu wa taasisi hiyo, Zawadi Thomas, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara, Diwani wa Vitimaalum Jiji la Dar es Salaam,Beatrice Nyamisango na Ofisa Ustawi wa Jamii Ilala, Joyce Maketa. Katibu wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Zawadi Thomas akizungumza wakati wa kongamano la kuwainua wajasiriamali pamoja na kuzindua mpango endelevu wa "MTOTO JITAMBUE" jijini Dar es Salaam leo.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara akizungumza na wanawake wajasiriamali somo la thamani ya mwanamke katika jamii wakati wa kongamano la kuwainua wajasiriamali lenye kauli mbiu isemayo " Mjasiriamali Imara chanzo cha familia bora" lililoandaliwa na taasisi hiyo ikishirikiana na Benki ya CRDB pamoja na kuzindua mpango endelevu wa "MTOTO JITAMBUE" liliofanyika jijini Dar es Salaam leo.Mwenyekiti wa kituo cha Taaarifa na Maarifa Kitunda, Claudia Gabriel akitoa somo la viashiria vya unyanyasaji wa kijinsia katika kongamano hilo.Katibu wa Victorious Health Foundation, Edwin Rumboyo akitoa somo la kukuza biashara katika kongamano hilo.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara ( wa pili kushoto ) akipokea risala ya Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation kwa Katibu wa Taasisi hiyo, Zawadi Thomas wakati wa wa kongamano la kuwainua wajasiriamali pamoja na kuzindua mpango endelevu wa "MTOTO JITAMBUE" lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.\Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara ( wa pili kulia ) akikata keki kuzindua mpango endelevu wa "MTOTO JITAMBUE" utakao husisha shule za msingi na sekondari ndani ya Kitunda na jirani kwa kuanzia.
Post Comment
No comments