Breaking News

TIGO YASHIRIKI SELOUS MARATHON 2024

Na Mwandishi Wetu.

Kampuni ya Mawasiliano Nchini Tigo Tanzania imeshiriki Msimu wa Sita wa Mbio Maarufu za SELOUS MARATHON zilizofanyika Leo , Agosti , 24 , 2024 Mkoani Morogoro. Kampuni hiyo imeshiriki mbio hizo kwa kutoa huduma mbalimbali za Kidigitali kwa Washiriki kabla, wakati na baada ya Mbio . 







No comments